Dude hilo limekuja kututembelea Kasenyi. Watu wanatalii bila malipo, lakini huyu mnyama ni moja ya washikaji wetu. Unaweza kuwa na moyo wa ujasiri wa kupiga nalo picha? Ebu angalia washikaji nilivyowapiga picha wakiwa karibu kabisa nalo.
Lakini Smoka likataka kumkimbiza ebu angalia
HIYO NI MOJA YA RAHA YA MALIASILI YA TANZANIA NA RAHA YA KUISHI KISIWANI. KUMBUKA NILIKUWA NIMEIFUNGA BLOGU HII KWA KARIBU MIAKA MIWILI, LAKINI KUANZIA SASA NIKO HEWANI.
Kwa wale wapenzi wa Yanga poleni sana kwa kutolewa kwenye kombe la mapinduzi. Ata mimi mpenzi wa Azam nimeshazoea, sijui Simba wao itakuwaje? Bora kombe libaki Zanzibar!!!!!
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni