Ijumaa, 9 Januari 2015

HII NI MAALUMU KWA MABAAMEDI

Hizi ni opena mpyaa kabisa za mwaka 2015. Kazo kwenu wateja wa baa, lakini najiuliza swali moja sipati majibu, Ni kwanini wamweka sanamu za namna hii? au ni kwasababu kazi yenyewe inafanana saaana na shughuli hii? Au wewe unasemaje? Kwa wale wenzangu wa kasenyi mkitoka ''doro'' mfike kwa mama mtakuta wahudumu wake wameshilikia mkononi hizo zana. Ila natania tu sijui kama mama ameshaleta OPENA za namna hiyo. Swali kwa wahudumu, ivi ukiwa umeishika opena hiyo unataka kufungulia kinywaji unahisi nini mkononi?

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni