Ni kisiwa ambacho kinatembea chenye uwezo wa kubeba hata watu 50 kwa wakati mmoja, kisiwa hiki ambacho kinasadikika kutokea kisiwa cha hifadhi ya taifa ya RUBONDO mkoani GEITA, kwa sasa kimefika katika kisiwa cha Kasenyi-Ikuza.
HAYA NI MAAJABU YA MUNGU KATIKA ZIWA VICTORIA. UNGANA NA BLOG HII KWA TAARIFA ZAIDI KUTOKA VISIWA VILIVYOKO NDANI YA ZIWA VICTORIA.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni