Jumanne, 30 Julai 2013

TUTAMUUZA BALE KAMA TU WATAFIKA BEI

Klabu ya Tottenham imekubali kumuuza mchezaji wake mwenyekuonekana kuwa tishio kwa sasa kama tu timu inayomuwania itakuwa tayari kutoa kiasi cha paundi milioni 85 na mchezaji mmoja. Klabu tajiri ya Real Madrid ndiyo inayomsaka kijana huyo mwenye umri wa miaka 23 kwa udi na uvumba. Ikumbukwe pale jana Madrid walitoa ofa ya wachezaji wawili pamoja na kitita cha paundi milioni 53 ili kumnasa mchezaji huyo rai wa Wales. Hata ivyo mchezaji huyo aliomba kuongea na klabu ya Madrid kabla hawajafanya chochote juu ya mauziano hayo. Kauli hiyo imetolewa baada ya kuona kwamba klabu ya Real Madrid imedhamiria kumnasa kijana huyo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni