Jumatatu, 29 Julai 2013

MAN UNITED YAMTAKA KIUNGO LUKA MODRIC......

Kocha wa klabu ya Man United David Moyes, amehamishia nguvu zake kwa kumtaka kiungo wa klabu ya Real Madrid Luka Modric. Inaonekana kwamba kocha huyo aliyechukua mikoba ya Mscoti mwenzie Alex Furgerson, anataka kuimarisha safu ya kiungo kwenye timu yake hiyo mpya. Baada ya kumtaka bila mafanikio kiungo wa Barcelona Cesc Fabregas kocha huyo amejiandaa kutoa kitita cha paundi milioni 25 kama ada ua uhamisha wa mchezaji huyo. 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni