Jumanne, 30 Julai 2013

NEYMAR KUWA KIKOSINI BARCA DHIDI YA LECHIA GDANSK

Mchezaji aliyehamia klabu ya Barcelona akitokea klabu ya Santos ya nchini Brazil ataoinekana kwenye kikosi cha Barca kwenye mechi ya kirafiki dhidi ya klabu ya Lechia gdansk, mchezaji huyo raia wa Brazil alionekana kuwa mwiba kwenye mashindano ya shirikisho yaliyomalizika mwezi jana huko Brazil.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni